Miongoni mwa tatizo kubwa kabisa yanayowakabili wanaume wengi ni kufika kileleni mapema, inasemekana katika wanaume kumi basi saba wana matatizo hili, hizi na takwimu za zisizo rasmi, wengi wanalalamika muda wanaotumia kati ya nusu dakika na dakika mbili, katika hatua ya kwanza wengine ikifika hapo hawana hamasa tena kimahaba.

Ndoa na wapenzi wengi wameachana kutokana na kasoro hii waliyonayo wanaume, wengi wameonekana 'si keki kwa wapenzi wao kwani jambo hili humsababishia kero mwanamke, ingawa kumekuwa na mafanikio katika tiba za miti shamba lakini wanaume wengi hawajapata ukombozi wa tatizo hili. wengi wamejikuta wakijiongezea mzigo wa fikra kwa kuzitumaini zaidi dawa za kienyeji, hulazimika kila jambo huzitumia dawa hizo na kutokezea kuzikosa aibu kubaki pale pale.

Kimsingi kanuni ya ufanyaji mapenzi iko zaidi kwenye ubongo kuliko mwilini, hii ijulikane wazi, kinachotokea hadi mtu akapata msisimko wa kufanya mapenzi si mwitiko wa mwili bali ni utambuzi wa akili juu ya kiwango cha mwanamke anaefaa kimapenzi.

Jambo kubwa linawafanya vijana wengi kufika mapemba kileleni ni PUPA, wengi wanapokea hisia zilizokuzwa na kwenda nazo ufanyaji mapenzi, wataalam wa saikolojia wanasema ili mwanamme achelewe kufika kilele mapema lazima apunguze mhemko unatokana na kuona, kuhisi na kupagawishwa na style ya chombezo toka kwa mwanamke.

Ushauri wa A'mlik bila kulionea haya jambo hili, Kutumia dakika 20 kufanya maandalizi, hii ndio njia ya kufanya mhemko ushuke na kuongeza muda wa kumaliza.

Aidha itumike mbinu ya kuidanganya akili ili kuzima taarifa za juu za uzuri wa mwanamke, au kukaza misuli ya miguu mfano kama ukishikwa na haja ndogo ukaizuia isitoke.

Zoezi hili linaweza kuwa gumu katika hatua ya kwanza kutokana kukosa muda sahihi wa kujizuia. Hii ni nasiha zangu ili ewe msomaji kuondokana na jambo hili, katika hili hakuna aibu na nimejaribu kutumia lugha nyepesi ili isiwe tusi kwa wengine.

A'malik

Views: 545

Andika Salamu

Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!

Join Zanzibarwebsite

Maoni ya SHOMARI on April 6, 2010 at 8:58pm
kweli waangamia baadhi ya vijana na wanandoa na haswa ktk game hii.OK nawashuri watafute nji sashihi kama kuhudhuria ktk maeneo yanayo patikana supu ya pweza (octopas) wanapata nafuu na kula vyakula visivyokuwa na kemikali za viwandani na kuchuwa muda mrefu kujiandaa mana haraka haraka haina baraka na mtaka yote kwa pupa.................................!!!.Kwa herini.
Maoni ya Farid bin Ali on April 5, 2010 at 9:57am
maneno yenu ni kweli lakini kwanini anatuhumiwa mume sana hapo kwa kushindwa kumudu tendo kwa kipindi kirefu ili aridhike na amridhishe mke ?
mimi kusema ukweli nahisi kuna wakati ungine m'mke nae anahitajika achangie kwa wajibu anaotakiwa mbele ya mpenzi wake maana kuna wanawake wengine unakuta hajiandai ipasavyo kabla ya yaaani nakusudia kiusafi wa mwili wake au na kushiriki inavyotakiwa katika kuandaa na wakati wa tendo lenyewe ,wazee wenzangu hizo ni fikra zangu kwa jinsi ninavyohisi mimi mwanamke ndio dereva hasa wa hilo gari sasa ni yeye mwenyewe na uwezo wake wa kulipeleka mbio au kulisimamsha , na nadhani kwenu wenzangu tutaelimishana zaidi .....shukran
Maoni ya chidy boy on March 27, 2010 at 2:26am
heeee nakwambia mambo ni kupiga mbizi tu ukipigambizi jicho laelea umajimaji wapatikana kama aina ya chemchem ukiona dalili hizo inabidi ugeuke uweke namba 69 hapo utaona ukianza kuvutwa nywele hapo sasa ujue chungu kisha iva ndo unaanza kutumia kidole chako cha shahada ukiona unyevu nyevu unakipeleka pande zote hadi unapata sehem kuna ukuruzo kuruzo kama aina ya ncha za fenesi shikilia hapo kwa dakika chache halafu ingia ndani kidogo utakuta sehem ipo kama gololi lakini hapo inabidi uanze kutumia ting finga kibonyeze kidogo baada ya hapo ninda kusini maharibi kaskazini na maharibi halafu elejeza kidole hicho mojakwamoja kwenye hile sehem ya mkao wakula tena hapo ulimi wako una kivuta kile kitaka tonge na huku waendelea na zoezi hilo tumia kama takika 45 hivi lakini jihadhari uwe hupo ugenini kwa wakwe zako itakuwa noma maana bibie ataimba nyimbo zote ulowahi kuzisikia kwenye dunia hii hapo hakuna miti shamba wala salehe madawa ni ujuzi tu na ndoa yako itadumu hata umuolee wake wanne kwaherini
Maoni ya ahmed saleh ahmed on March 23, 2010 at 11:26pm
somo zuri sio utani hata shemegi yangu wakike amenilalamikia katika suala kama hilo ameniambia kaka yako amkidhii no 10 mwisho wake no 4 tu ukweli kabisa alinitaka mimi nimsaidie ila mimi nilimtolea nje yote bcz yapupa yake kama jogo yani tuige hata mfano wa njiwa jinsi anavoanza dokta wamapenzi nakupa hongera sanaa wanatutia aibu baadhi yetu utafikiri itaondoka kwapupa zao hongera wape hao maneno yao mficha uchi hazai
Maoni ya Hadidosty on March 23, 2010 at 10:19pm
Ndiyo Doktor wa Mapenzi wape watoto somo la mapenzi maana ndoo unalolipenda hilo penzi lakini ujuwe penzi halina bingwa mpaka ulifikishe salama. kazi kwako doktor love
Maoni ya Zilzal baghdad on March 23, 2010 at 3:23am
Bw Malik aloyazungumza kweli yapo sana na wengi kati yetu tunakwenda hivi au vile bw Maftah uloyazungumza ni upande wa pili sio wa kwanza , yaani umezungumza upande wa harumi na sio upande wa rijali
Maoni ya Al Mabrouk on March 23, 2010 at 1:17am
Hii taaluma ni ya kimaumbile.Wapo wanaochelewa sana kufika kileleni lakini jee wanaenjoy au wanaigiza???

Kuchelewa na kuenjoy ni suala la maumbile kwa hiyo dawa yake kuishi maisha ya kimaumbile na kujiepusha na njia za kibandia bandia kama viagra n.k.
Maoni ya MAftah on March 22, 2010 at 7:03am
kwa wanandoa tu
lazima tujifunze fani ya mulaaba na mudaaba na ikiwezekana usianze tendo la ndoa na mkeo mpaka uone dalili za mambo matatu
1-macho kulegea
2-umajimaji ktk uke
3-kuvimba kwa uke

vitu vlivyokatazwa kwa mke na mme ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile na kuepuka kufanya tendo la ndoa ktk kipindi cha mke kuwa ktk hedhi au nifasi

kwahiyo vilivyobakia vyote ni ruksa na mtizame paka anapokamata panya huwa anafanyaje mpaka amle ?

tumia hisia na akili na ujuzi na ubunifu ktk fani hii na muambieane ni sehemu zipi zenye kuwapa msisimko na mchukue muda mrefu ktk kujiandaa

na mfundishane kwani hiyo ni ibada kati ya mme na mke.

maftah

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service