Viongozi wangekuwa wanajali WANANCHI kama wanavyojali vyama vyao basi waliohusika na uzembe wa kuzamisha MV SPICE wote wangeshawajibishwa.

Views: 8

Andika Salamu

Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!

Join Zanzibarwebsite

Maoni ya Al Mabrouk on January 7, 2012 at 10:01pm

Huu mwezi wa nne sasa viongozi hata wameshindwa kuzungumzia suali la watu zaidi ya elfu tatu waliokufa kwa uzembe katika majumuisho yao ya mwaka.Lakini katika kulinda madaraka yao katika vyama basi ni wakali sana wala hawana MUHALI wala urafiki.

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service