Mapenzi huota kwasababu fulani na hufa kwasbabu fulani.Hiyo sababu uliyopendea ikiondoka basi na mapenzi hufa.Usidanganyike kuwa mapenzi hayafi.

Views: 48

Kurasa: Jamii, Nasaha

Andika Salamu

Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!

Join Zanzibarwebsite

Maoni ya tahiya al riyamy on October 22, 2011 at 11:12pm
sumu ya mapenzi ni maudhi yakiwa mingi mapenzi yenyewe huondoka
Maoni ya Kidu Ally Hamad on September 30, 2011 at 4:21pm

Ni sababu zipi hize?.........................tueleze tafadhali.

Maoni ya BABENGWA on June 3, 2011 at 4:59pm

Mfano umependa kiuno kilichonona ,tumbo la kuhara damu dysentry IKAHAMISHA MZIGO WOTE.

lakini kumbe lilo umeliona kwa macho likakuweka ndani ya maisha ya huyo amekuwa na vya ziada pia vikakugandisha mradi ukawayawaya mpaka waulizaji bwana kiuno kagandia nini tena bado ikawa siri....CHEMSHA BONGO NGOMA NZITO BADO

 

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service