Hakika wenye akili ni watu watatu -:
1. Mwenye kuiacha Dunia kabla Haijamuacha.
2. Mwenye Kujenga Kaburi Kabla Hajaingia.
3. Mwenye kumridhisha Allah Kabla hajakutana naye.
Tuungane na wenye akili ili tupate kufanikiwa. Insha'Allah Mola atuwezeshe.
Amiin.
Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!
Join Zanzibarwebsite