HUKUMBUKI TULIKO TOKA WATAZAMA MBELE TUUU??

kwanza natoa salam,< ASSALAAM ALYKUM>

Wapendwa wasomaji. Tuliko toka ni mbali sana na hatuna budi kumshukuru M/Mungu .. tulikuwa vipofu wa nchi tusio jua linaloendelea katika nchi  (ZANZIBAR na TANGANYIKA) kwa ushirikiano wa watu walioitakia mema ZANZIBAR walipanga shauri ya kuunda Chama ili kufikisha  ujumbe kwa wannchi wote. Badhi yao walikuwa wafanyakazi walio acha kazi zao na wengine kuacha hata kuwasaidia wanawao kwa kwa kufikisha ujumbe wa kuwa  dhulma tulionao inapaswa tuiondoe! hasara kubwa wau iliwapata ikiwa ni kuweka ndani (JELA) kichura kulala saa mbili,,,. kufukuzwa makazini... kuuliwa kisirisiri  na hadharani.. yote hayo hatuyakumbuki tunaoyoyakumbuka ni yale yajayo tuuuu>>>

Mm machoz yaanitoka kuona mtu kiongozi anaeheshimika leo anawasaliti na kuyasahau yote yaliopita hali ya kuwa yy anamaisha mazuri  yy na familia yake eti sababu ya madaraka LOOO HERI AENDE HUKO OOO ss basi.. MSALITI MKUBWA  LOOOO LOOO LAANA ZA WATU NI BORA KUPIGWA RISASI  SS HATUKULANI LAKIN ....

Views: 12

Andika Salamu

Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!

Join Zanzibarwebsite

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service