yapo mambo mengi saaana duniani ambayo huja na kupita.mengi huwa tunayaona mageni pale tunapo yaona kwa mara ya kwanza.mfano vazi la suruali kwa wanawake. vazi hili miaka ya 80 halikuwepo hapa kwetu tanzania.miaka ya 90 vazi hili lilianza kutumika japo watumiaji walipata vipingamizi vingi sana kama kubakwa,kuzomewa,kutengwa, nk.watu hao walionekana katika jamii kama wasaliti wa mila.hata hivyo mpaka sasa jamii imekwisha kubali matokeo.
KINACHO NIPA HOFU..
hivi sasa SHETANI Anampango mbaya wa kuhakikisha Anachota kundi kubwa la watu atakalo ingia nalo motoni kama alivyo ahidiwa na mwenyezi mungu.shetani huyo kaamua kupitia.au kufanya kazi zake kupitia tekinorojia.ameweka mawakala wengi duniani hata hapa kwetu tanzania ina semekana wapo.
Andika Salamu
Maoni ya dr.zedy phones on July 18, 2011 at 11:31am
Maoni ya Karim Jee on July 15, 2011 at 9:28am
Maoni ya Abu Hamza on February 19, 2011 at 5:01pm
Maoni ya Abu Hamza on February 19, 2011 at 4:58pm
Maoni ya Abu Hamza on February 19, 2011 at 4:56pm
Maoni ya Abu Hamza on February 19, 2011 at 4:49pm
Maoni ya fransisca peter njau on February 19, 2011 at 3:54pm
Maoni ya Seira liban on November 22, 2010 at 10:32am
Maoni ya Sia Abdallah on November 7, 2010 at 4:13pm
Maoni ya Abu Hamza on November 7, 2010 at 11:26am © 2012 Created by zanzibarwebsite.com.
Lazima uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kuweka ujumbe!
Join Zanzibarwebsite