Makala zote (1,187)

bushako MANJANO (TURMERIC) (CURCUMA) NA FAIDA ZAKE ,

ASSALAM ALEYKUM 

KWA MARA NYINGINE TENA, NILIAHIDI KUWALETEA FAIDA ZA KIUNGO KINGINE , LEO NAWALETEA MANJANO ;

WENGI  WETU TUNAIJUWA MANJANO NYUMBANI KWETU NA TUNAITUMIA KWA MATUMIZI YA KAWAIDA KAMA  VILE , KUBADILI RANGI YA VYAKULA  KAMA MCHUZI , WALI, SAMAKI , NYAMA, HATA KUBADILI RANGI ZA NGUO KAMA T-SHIRT NA MENGINEYO,

 ILA NITAJARIBU JAPO KIDOGO KUTOWA KWA MUKHTASARI FAIDA ZAIDI MBALI NA…

Endelea

imeingizwa na bushako tarehe February 23, 2012 saa 9:49am — Hakuna maoni

Abdullmalik Jamaani Naomba busara zenu

Ndugu Zangu.

 

Kwakuwa mimi ni binadamu kama binadamu kama binadamu yoyote yule, udhaifu wangu nimeuona toka mwaka huu kuingia, niweke wazi kwamba mm Abdullmalik Nasser nimepata mke hapa hapa ukumbini udhaifu wangu kwa kwanza ni uchoyo wa kutokualikeni harusi wana ukumbi wenzangu hii nimeifanyia utafiti nikagundua kuwa wivu umechangia kwa hili.

 

kadhalika sitopenda kumtaja mwenza wangu ila katika masharti yetu…

Endelea

imeingizwa na Abdullmalik tarehe February 12, 2012 saa 8:29am — Michango 5

maulid idrissa MAPENZI GANI JUU YA MTUME SAW YANAHITAJIKA ?

Nimeonelea makala yangu hii nianze kwa njia ya maswali juu ya swahiba wa mtume rehema na amani ziwe juu yake.

  Huyu ni Abdullah ibn abu kuhafa (aswiddiq) kama ajulikanavyo alimpenda sana rasulillah saw

>akawa kama bodigadi wakitembea anapinda njia huku nahuku kumzingira habibullah.

>Katajwa katika qurani waziwazi surati A taubah

>Katajwa katika surati Laily na nyinginezo

>Mwanaume bora baada ya mitume na manabii (yaani yeye ndo…

Endelea

imeingizwa na maulid idrissa tarehe February 10, 2012 saa 3:37pm — Michango 2

ibrahim said FAMILIA BORA- NYASIA KUMI

بسم الله الرحمن الرحيم

الأسرة السعيدة - الوصايا العشر

FAMILIA BORA- NYASIA KUMI

UTANGULIZI:

Familia ni taasisi ya kimalezi ya mwanzo ambapo muislamu anapata thamani na tabia zake. Kwa sababu hii familia ni kituo muhimu…

Endelea

imeingizwa na ibrahim said tarehe February 4, 2012 saa 5:38pm — Hakuna maoni

Al-Udii MTUME (S.A.W) NI KIGEZO (1) .

MTUME (S.A.W) NI KIGEZO.

                           MTUME (S.AW.) NI KIGEZO.     

      Mwezi wa mfungo sita kwa karne kadhaa hivi sasa  waislamu wamejizowesha hadi yakawazowea mapenzi yao ya kukumbuka uzawa wa Mtume Muhamad (S.A.W) na kwa ajili hiyo hufanya majumuiko ya kumsalia nakumtakia  rehma, huku…

Endelea

imeingizwa na Al-Udii tarehe February 4, 2012 saa 1:17am — Hakuna maoni

bushako FAIDA ZA MDALASSINI CINNAMON STICK OR BACK.( CANNELAR0

 MDALASSINI NI MTII AMBAO UNAOTA SEHEMU YA JOTO LA WASTANI WA NYUZI JOTO  28 HADI 39 KATIKA MBALI MBALI DUNIANI, KAMA VILE AFRIKA YA MASHARIKI TANZANIA , ZANZIBAR, COMORO, MADAGASCA, MAURISHAZ, , USHELI SHELI INDIANA KWENGINEKO.

MDALASSINI UCHUNWA MAGAMBA NA KUANIKWA NA KUWA CINNAMON BACK.

   FAIDA ZA MDALASSINI 

FAIDA ZA MDALASSINI NI NYINGI MNOO ILA ZIMEGAWIKA SEHEMU KUU MBILI,

 MDALASSINI NI…

Endelea

imeingizwa na bushako tarehe January 28, 2012 saa 11:59am — Michango 4

ALLY BANANI KUMPENDA MTUME (S.A.W)

"Kumpenda Mtume (S.A.W) si kumsifu, bali kumpenda Mtume ni kumfuata". Mtume hakutaka asifiwe, bali Mtume alitaka afuatwe. Uthibitisho kamili Qur-an Sura (3:31), "Sema: ikiwa nyinyi mnampenda Allah basi nifuateni mimi, Allah atakupendeni, na atakufutieni dhambi zenu".

imeingizwa na ALLY BANANI tarehe January 26, 2012 saa 5:11pm — Hakuna maoni

Dikupa KUDAIYANA!

AISHA (R.A) AMEELEZA KUWA:

“Mjumbe wa Allah alisikia sauti kali za ugomvi nje ya mlango, mmoja wao alimtaka mweziwe apokee sehemu ya deni alilokuwa akimdai na amvumilie kwa kiasi kilicho salia,

lakini yule mwingine alisema, ‘WAllah (swt). Sitofanya hivyo! Mjumbe wa Allah alitoka nje na kusema, ‘Yuko wapi anayeapa kwa jina la Allah (swt) kuwa hatofanya amali njema?

‘Yule mtu alisikia fedheha aliposikia sauti ya Mjumbe wa Allah, ikimkaripia na kumwonya,;…

Endelea

imeingizwa na Dikupa tarehe January 25, 2012 saa 5:06pm — Hakuna maoni

m^!sh^+ mbwa kala mbwa. UKUMBUSHO

  • ASLAMA ALEYKUM,BWANA MTUME S.A.W ANASEMA WATU WATATU M.MUNGU…
Endelea

imeingizwa na m^!sh^+ mbwa kala mbwa. tarehe January 25, 2012 saa 2:11pm — Hakuna maoni

Sumiyati The Prophet’s favorite condiments were honey, olive oil

Endelea

imeingizwa na Sumiyati tarehe January 19, 2012 saa 11:13am — Hakuna maoni

FAIQA Understand Quran - The Easy Way - Free Online Courses

Endelea

imeingizwa na FAIQA tarehe January 17, 2012 saa 7:10pm — Hakuna maoni

ForoZanzibar Mfanyabiashara apigwa risasi

Habari  za uhakika ni kuwa mfanyabiashara maarufu wa vinywaji hapo Marikiti kuu darajani amepigwa risasi na majambazi leo jioni hii.

imeingizwa na ForoZanzibar tarehe January 11, 2012 saa 8:30pm — Michango 7

Al Mabrouk Kujali vyama kuliko wananchi

Viongozi wangekuwa wanajali WANANCHI kama wanavyojali vyama vyao basi waliohusika na uzembe wa kuzamisha MV SPICE wote wangeshawajibishwa.

imeingizwa na Al Mabrouk tarehe January 7, 2012 saa 9:52pm — Mchango mmoja

Ali Hamad HUKUMBUKI TULIKO TOKA WATAZAMA MBELE TUUU??

kwanza natoa salam,< ASSALAAM ALYKUM>

Wapendwa wasomaji. Tuliko toka ni mbali sana na hatuna budi kumshukuru M/Mungu .. tulikuwa vipofu wa nchi tusio jua linaloendelea katika nchi  (ZANZIBAR na TANGANYIKA) kwa ushirikiano wa watu walioitakia mema ZANZIBAR walipanga shauri ya kuunda Chama ili kufikisha  ujumbe kwa wannchi wote. Badhi yao walikuwa wafanyakazi walio acha kazi zao na wengine kuacha hata kuwasaidia wanawao kwa kwa kufikisha ujumbe wa kuwa  dhulma tulionao inapaswa…

Endelea

imeingizwa na Ali Hamad tarehe January 7, 2012 saa 9:23am — Hakuna maoni

Al-Udii TOBA YA KWELI

TOBA YA KWELI

Kuomba msamaha kwa M/Mungu ni tabia au uaminifu wa kinaa ya mwanadamu kuamini kwamba yupo duniani kwa ajili ya matakwa ya Allah na atarudi kwa Allah muda wake ukifika kinyume cha hayo ni kiburi na kutoamini kuwa iko siku ya ufufuo .

Baba yetu Nabii Adam (A.S) kishatufunza jambo hili na ni tendo la awali la kiumbe mtu kuomba msamaha na baada kukiuka amri ya Mola basi vyenginevyo yule anaejiona si katika wanaadamu kitabia anafuatana na tabia ya iblis ya kiburi.

Kwa… Endelea

imeingizwa na Al-Udii tarehe January 7, 2012 saa 9:12am — Hakuna maoni

Al-Udii TUJISAWAZISHE.

Ni Uzuri kwetu tufahamu kuitwa Mtu na neo Utu. Jee!! kwanini tukose utu na sisi ni watu? Ni nani huyo anatarajia kupewa sifa ya utu wakati anakuwa mnafiki,mpenda majungu, mbinafsi, hapendi umoja katika jamii na AMANI. Tujisawazishe.

imeingizwa na Al-Udii tarehe January 6, 2012 saa 10:47am — Hakuna maoni

m^!sh^+ mbwa kala mbwa. FALSAFA YA QUR-AN KWA UCHUNGUZI WA MAJINI WA KISHEITWAN

Dalili za kupatwa na Majini wa Kisheitwan kupitia katika kuharibu uzazi.

1.Kuota unazaa (2)Kulea mtoto (3)Kunyonyesha (4)Kufura kwa tumbo n.k

1.Kuota kufa mtoto na huenda likatokea tukio hilo.

2.Kufa kizazi cha kiume na kikabaki cha kike,kama vile zama za Firauni Laanat Alyh,pia mara nyengine 

   hutokea kufa wa kike wa kiume kubaki pia kutokea tukio hilo.

3.Kuota kupelekwa kaburini kuchukua mtoto au kuzika.

4.Umwagaji wa damu sana wakati wa…

Endelea

imeingizwa na m^!sh^+ mbwa kala mbwa. tarehe December 22, 2011 saa 7:55pm — Hakuna maoni

m^!sh^+ mbwa kala mbwa. FALSAFA YA QUR-AN KWA UCHUNGUZI WA MAJINI WA KISHEITWAN

Dalili za kupatwa na Majini wa Kisheitwan kupitia katika kuharibu uzazi.

1.Kuota unazaa (2)Kulea mtoto (3)Kunyonyesha (4)Kufura kwa tumbo n.k

1.Kuota kufa mtoto na huenda likatokea tukio hilo.

2.Kufa kizazi cha kiume na kikabaki cha kike,kama vile zama za Firauni Laanat Alyh,pia mara nyengine 

   hutokea kufa wa kike wa kiume kubaki pia kutokea tukio hilo.

3.Kuota kupelekwa kaburini kuchukua mtoto au kuzika.

4.Umwagaji wa damu sana wakati wa…

Endelea

imeingizwa na m^!sh^+ mbwa kala mbwa. tarehe December 22, 2011 saa 7:55pm — Hakuna maoni

Abdullmalik MPENZI MWENYE MALENGO

Sababu kubwa kuandika mada hii fupi juu ya ukweli ulokithiri ya baadhi ya wapenzi wasiokuwa na malengo, hivyo ndugu usikubali kabisa mtu akuchezee, tafuta mtu mwenye malengo ujue nini kakusudia juu yako isiwe anataka kusogeza siku tu kisha anakupotezea.

Nimefanya uchunguzi wa kina, nikagundua wapenzi wengi hapa kwetu unguja wanapenda uhusiano wa majaribio, je wewe ni wa majaribio? sasa kwa nini basi unamruhusu mtu aingie kwenye historia yako wakati lengo lake ni kupita tu…

Endelea

imeingizwa na Abdullmalik tarehe December 13, 2011 saa 9:27am — Hakuna maoni

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service