UWAMSHO WAFANIKIWA KUFIKISHA UJUMBE WAO
imeingizwa na Fesal Humud Fesal tarehe May 27, 2012 saa 9:29am — Hakuna maoni
KUPANDA MBEGU FUKWENI , USITUMAI KUVUNAA
Fukwe pahala pamaji, kujaa kisha yakendaa
kwa wake ubururaji, hakuna kitachoganda
katimiri na kabeeeji, wenyewe zimesarenda
kupanda mbegu fukweni, usitumani kuvunaaa.
Mjarabu kwa mikoko, si nafaka ma matundaa
kunde,ngano na choroko, daima hatowandaaa.
kwa michungwa kule siko, mgongo uuuusijepinda.
kupanda mbegu fukweeeni, usitumi kuvunaaaaa.
Bora kwenda fyeka pori, la…
Endeleaimeingizwa na bushako tarehe May 24, 2012 saa 10:25am — Hakuna maoni
*****TUJIANDAE NA MWEZI MTUKUFU*****
imeingizwa na Fesal Humud Fesal tarehe May 24, 2012 saa 6:56am — Hakuna maoni
1: NI MINGI SASA MIAKA, TANGU ALIPOONDOKA
ONDOKA KAMA DHIHAKA, DUNIANI KAFUTIKA
FUTIKA NA ZAKE TAKA, ZIMEBAKI TWATESEKA
ALOZIKWA BUTIAMA..............................
2: ALICHOFANYA HAKUNA, TUBAKI KUJIVUNIA
KUJIVUNIA LA MAANA, URITHI KWA TANZANIA
TANZANIA TUJE NENA, BABO ALOTUCHIA
ALOZIKWA BUTIAMA......................
3: AZIMIO ALIUNDA, MALI AKATAIFISHA
TAIFISHA NA…
Endeleaimeingizwa na HARAKATI ZANGU tarehe May 21, 2012 saa 5:07pm — Mchango mmoja
MWARI HUYU, MWARI GANII ?
SWALI LANGU NALITEGA, MWARI WATU WAMTAKA.
NAULIZA KUWALENGA, NI NANI ASOMTAKA.
VISIWANI, BARA ,TANGA, MWARI HUYU WAMTAKA
NAWAULIZA WENZANGU, MWARI HUYU MWARI GANII.
MWARI ATWAKWA NA WENGI, WAMSAKA KWA UVUMBAA
KASHEHENI YA MSINGII, KWA WAPEMBA NA WA IRAMBAA
YALIYOSEMWA NI MENGIII, NANI WA…
imeingizwa na bushako tarehe May 21, 2012 saa 12:06pm — Hakuna maoni
imeingizwa na Balozi khassan balozi tarehe May 19, 2012 saa 8:53pm — Hakuna maoni
kwakila alieona yastahili amlaani huyu alieweka jina la mungu ktk viatu.
imeingizwa na Fesal Humud Fesal tarehe May 17, 2012 saa 10:08pm — Hakuna maoni
Man City imejinyakulia rekodi ya dola milioni 98
Malipo ya matangazo iliyopata Man City imevunja rikodi katika ligi ya Uingereza baada ya Klabu hiyo kupata dola milioni 98.
Nusu ya mapato yanayotokana na kuonyeshwa ligi hiyo katika TV za nje na ndani hugawiwa sawa kwa klabu zote ishirini zinazoshiriki ligi hiyo Kuu ya Uingereza.
Ligi hiyo imetangaza siku ya Ijumanne kuwa kila klabu ilipokea mgao sawa wa dola za kimarekani milioni 22.1 kutoka kwa TV za nyumbani na dola milioni 30.1 kutoka kwa TV za nje pamoja na dola…
imeingizwa na zanzibarwebsite.com tarehe May 15, 2012 saa 8:35pm — Hakuna maoni
BAADA YA KUOMBWA , KWA HILII !!!!!!!!!!
ASSALAM ALEYKUM , WASOMAJI WANGU WA MAKALA HII,
KWANZA NAPENDA KUWAPONGEZAA WOTE WALIONITAFUTA KWA KUTAKA KUJUWA ZAIDI , JUU YA MAKALA YANGU YA MDALASINI , KITUNGUU THAUMU , PAMOJA NA MANJANO,
AMA WENGI WAMENIOMBA TENA KUFAFANUA SEHEMU ILE YA MDALASINI , DAWA YA KINA MAMA, KWA MATATIZO MBALI MBALI
SAWA NIMESEMA AWALI KUWA MDALASSINI , UKIPEA ZAIDI AU UKIKOMAA ZAIDI KATI YA MIAKA 20, KWENDA MBELE HUGEUKA KUWA…
Endeleaimeingizwa na bushako tarehe May 15, 2012 saa 10:43am — Hakuna maoni
MUSOTAKA MUUNGANO JIBUNI HOJA
imeingizwa na Spider tarehe May 5, 2012 saa 7:10pm — Michango 4
UTATUZI WA KUDUMU NI KUVUNJA MUUNGANO
(Mada iliyotolewa katika Kongomano lililofanyika Lumumba tarehe 01 Mei 2012)
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao juzi tu ulitimiza miaka 48 umejaa kero ambazo kila upande, hasa Zanzibar, unaona zimekua karaha. Muungano huu na kero zimekuwa ni vitu vinavyokwenda pamoja – huwezi…
imeingizwa na ZANZIBAR tarehe May 2, 2012 saa 6:07pm — Hakuna maoni
Husnul Khuluq (tabia Njema)
Ndugu yangu katika Iymaan:
Sifa njema zote Anastahiki Mwenyeezi Mungu Mola wa viumbe wote na rehma na amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), Jamaa na Swahaba zake wote.
Hivi unajua ndugu yangu Muislam, Mwenyeezi Mungu Akulinde na Akuhifadhi, kwamba amali…
Endeleaimeingizwa na ZAMIL tarehe April 30, 2012 saa 12:35pm — Hakuna maoni
Husnul Khuluq (tabia Njema)
Ndugu yangu katika Iymaan:
Sifa njema zote Anastahiki Mwenyeezi Mungu Mola wa viumbe wote na rehma na amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), Jamaa na Swahaba zake wote.
Hivi unajua ndugu yangu Muislam, Mwenyeezi Mungu Akulinde na Akuhifadhi, kwamba amali…
Endeleaimeingizwa na ZAMIL tarehe April 30, 2012 saa 12:35pm — Hakuna maoni
Unaandika katiba kwa mkataba upi? Ule wa 1964 au hewa?
. Utaandikaje katiba wakati una matatizo ya muungano zaidi ya kumi?
. Utaandikaje katiba ya muungano bila ya kujuwa kuwa huo muungano wenyewe wananchi wanautaka au laa?
. Wanzanzibari hatuna la kujadili kwenye katiba hii ya muungano zaidi ya huo muungano wenyewe ambao umewekewa vizuizi na makatazo anuwai ya hadidu rejea. Jee hii ndio demokrasia ya Kitanzania?
imeingizwa na ummy tarehe April 21, 2012 saa 9:24am — Michango 4
tusisahau akhera
imeingizwa na Maulid Juma tarehe April 19, 2012 saa 4:50pm — Mchango mmoja
Kua na serekali tusio na manufaanayo ni heri kutokua nayo, sababu hakuna umuhimu wa kua na nyumba hali yakua inavuja, paka asie kamata panya umlee wa nini, hivyo ni sawa na kufuga mbwa asiewinda, ni hasira kiasi gani ya mtoto uliemzaa halafu anakataa kutumwa tena maneno ya kashfa na dharau juu yake...........ni hayo tu fikiria na tilia maanani halafu utajua nini nakusudia.
Endeleaimeingizwa na Mohammed Maulid Shaaban tarehe March 28, 2012 saa 10:40am — Hakuna maoni
KATAA MUUNGANO MZANZIBARI-NUSU KARNE NA MKOLONI MWEUSI.
Baada ya miaka zaidi ya nusu karne kupita, tokea Wazanzibar na Zanzibar kupoteza haki yake ya msingi kama Nchi, hatimae Mola wetu amesikia vilio vyetu ,ametukumbuka kwa kututeremshia rehema zake tukufu,na kutuonesha mwanga tena baada ya chombo chetu cha ukombozi kupotea na kupata misukosuko huku…
imeingizwa na ZANZIBAR tarehe March 27, 2012 saa 9:33am — Michango 2
Ayyuwb: Mfano Katika Imani Na Subira (Ustahimilivu)
Historia ya Ayyuwb (katika ujira) inawapa faraja wale wote ambao ni wagonjwa au walionyimwa mali au watoto.
Malaika walikuwa wanajadili hali ya binaadamu, utiifu na uasi wao.
Mmoja wao akasema kwamba Ayyuwb ndio mbora wa watu ulimwenguni. Alikuwa Muumin mtiifu, daima akiswali kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala). Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Alimbariki kwa kuwa tajiri miaka themanini. Muda wote huu hakusahau kumuabudu au kumshukuru Allaah…
imeingizwa na ZAMIL tarehe March 21, 2012 saa 10:08am — Mchango mmoja
Kila Nafsi Itaonja Mauti Na Hakuna Atakayebakia Isipokuwa Allaah سبحانه وتعالى
Anasema Allaah سبحانه وتعالى:
كُلُّ نَفْسٍ ذَآئِقَةُ الْمَوْتِ وَإِنَّمَا تُوَفَّوْنَ أُجُورَكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فَمَن زُحْزِحَ عَنِ النَّارِ وَأُدْخِلَ الْجَنَّةَ فَقَدْ فَازَ وَما الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلاَّ مَتَاعُ الْغُرُور
((Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kamili Siku ya Qiyaamah. Na atakayeepushwa na Moto na akatiwa Peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu)) [Al-'Imraan:…
Endeleaimeingizwa na ZAMIL tarehe March 18, 2012 saa 10:42am — Hakuna maoni
2012
2011
2010
2009
1999
© 2012 Created by zanzibarwebsite.com.