wanachama 2
mwanachama 1
mwanachama 1
mwanachama 1
wanachama 3
Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na JOGOOO May 10, 2011. 9 Majibu 0 Pongezi
Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na Ta1m0ur Jun 2, 2009. 9 Majibu 0 Pongezi
Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na zanzibarwebsite.com Jun 11, 2009. 2 Majibu 0 Pongezi
Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na Mtarimbo Aug 24, 2009. 2 Majibu 0 Pongezi
Loading feed
zanzibarwebsite.com posted a blog post
MOH'D ALI AMOUR amewacha salamu kwa zanzibarwebsite.com
profmpenza commented on zanzibarwebsite.com's group 'Chelsea'
Avitus Rutechura. kamala commented on zanzibarwebsite.com's group 'Liverpool FC'
TASHAMATSH amewacha salamu kwa zanzibarwebsite.com
TASHAMATSH amewacha salamu kwa zanzibarwebsite.comImeingizwa Na zanzibarwebsite.com 0 Maoni 1 Pongezi
Imeingizwa Na zanzibarwebsite.com 0 Maoni 0 Pongezi
Imetumwa tarehe May 15, 2012 saa 8:35pm — 0 Maoni 0 Pongezi
Malipo ya matangazo iliyopata Man City imevunja rikodi katika ligi ya Uingereza baada ya Klabu hiyo kupata dola milioni 98.
Nusu ya mapato yanayotokana na kuonyeshwa ligi hiyo katika TV za nje na ndani hugawiwa sawa kwa klabu zote ishirini zinazoshiriki ligi hiyo Kuu ya Uingereza.
Ligi hiyo imetangaza siku ya Ijumanne kuwa kila klabu ilipokea mgao sawa wa dola za kimarekani milioni 22.1 kutoka kwa TV za nyumbani na dola milioni 30.1 kutoka kwa TV za nje pamoja na dola…
Imetumwa tarehe February 21, 2009 saa 9:18pm — 1 Maoni 0 Pongezi
Imetumwa tarehe February 21, 2009 saa 9:08pm — 1 Maoni 0 Pongezi
Imetumwa tarehe February 21, 2009 saa 9:00pm — 0 Maoni 0 Pongezi
MOH'D ALI AMOUR kasema…
TASHAMATSH kasema… asalaam alaikum
natumia fursa hii kukujulisha kuwa mm ni mmoja wa washiriki katika ukumbi huu tokea uwanze na sijapata kukosana namtu wala watu hapa ukumbini jambo la kushangaza ume waaajiri watu ambao wanta utumia ukumbi ni pahala pa riziki au kutumia fursa kutapeli watu na ukiwa hukutimiza mahitajio yao basi ujuwe watakutowa ukumbini ukumbi huu umekuwa mtaji wao jeee kweli wewe ndio una watuma wafanye hivi ?? tokea kuwanza ukumbi watu hawajakosana ila makosa madogo madogo na kulikuwa hakuna matatizo hapa ila baada ya kuja hawa watapeli ulio waaajiri wewe siku hizi ukumbi unaweka watu wenye matusi na hawana heshima wana wakosa watu baaada ya kumpa ukubwa huyu nasreen hakika hana adabu kabisa na mdomo wake mchafu bila kiasi anatukana watu na akijibiwa ana towa watu kila siku hapa bila makosa hakika kuona hivi sikuridhika nikawa nina mwabia akasema atanitowa na kweli kanitowa jee ndio unavyotaka ukumbi wako uwe hivi samahani nilipenda kukujulisha uwamuzi ni wako wewe ingawa nime tumia lugha mbaya katrika hii baruwa kwa hiyo utanisamehe kaka wako
mwachama wa ukumbi
TASHAMATSH kasema… asalaam alaikum warahmtullahi wa barakatu
napenda kuchukwua nafasi hii kukuarifu jee ukumbi huu una waaajiri watapeli ??ama wanawake wasio hehsimaaa ??? ikiwa kwani ulio wapa ukubwa wana utumia kwa njia wanayo taka wao na hasa huyu nasreen ana watowa kila walikuwa watu wa zamani ili achukuwe ukumbi jeee unahisi hili wewe yanayo tokea hapa yana kuridhisha??kwani naona wengi washatolewa bila kuwepo makosa ????jeee mbona ndugu yangu hufanyi uchunguzi kwa nini huyu msichan pekee anatowa watu hapa ukumbini ujuwe kuna siri fulani kwa hiyo fnaya uchuguzi na chaguwa wasimamizi wa maana wana penda haki sio kutapeli watu ukumbini please nakuona wewe ndio uwangalie haya
ukumbi una haribika kila siku watu wana punguwa jiulizeeee ili upate jawabu wako tash mash
BAZOKA kasema… NDUNGU ASALAAM ALAIKUM
NATUMI UTAKUWEPO KATIKA HALI YA UZIMA NA AFYA NJEMA KWANZA KABISA NAPENDA KUTOWA SHUKURANI ZANGU KUWEZA KUWEKA WEB YA KUWAKUTANISHA WATU NA KUJUWANA MUNGU AKUZIDISHIE KHERI NA BARAKA AMEEEN JAMBO KUBWA HAPA SIKU HIZI WEB HII IME HARIBIKA KUTOKANA WEWE KUWEKA VIONGOZI WANA MATUSI MMOJA WAO )NASREEN NA MAZRUI) HAWA WANACHAMA WANA UHARIBU UKUMBII KWA MATUSI WANA WAFUKUZA WATU NA PIA WANA WAFUNGIA WATU JEEE KWELI WEWE UTARIDHIKAAA NA THULUMA WAMMENFUNGI MWANA CHAMA TASHMATASHA BILA MAKOSA JEE UNA RIDHIKA NA HALI YA UKUMBI HUU )NJOO UWONE UKUMBI SASA ULIVYO HAUNA WATU UWAHI KABLA KUHARIBIKA WEB YETU AMBAYO TUNAKUJA KUPASS TAIMU BAADA YA AMCHOFU YA KAZI KWAHIYO HATUJIA HAPA KUKOSANA NA WATU KWA HIYO KAKA TAFADHALI KAMA UNA WAPA UWONGOZI WATU WAPE WENYE BUSARA NA WANO KUSTAHILI SINA MENGI NAPENDA KUKUARIFU WAKO BAZOKA
hamad issa omar kasema… ASSALAM ALAYKUM WAPENZI WA ZANZIBAR WEBSITE
NISAIDIENI KUPATA MCHUMBA WA KIKE MUISLAM ANAEWEZA KUTOA DAAWA NA KUA MWALIMU WA MADRASA YA WANAWAKE
© 2012 Created by zanzibarwebsite.com.