Imetumwa tarehe April 29, 2011 saa 7:01am —
0 Pongezi
MSTAHIWA MUFTI MKUU WA OMAN SHEIKH/AHMED BIN HAMED AL-KHALILY – Allah amhifadhi.
Assalamu alaykum warahmatullahi wa barakaatuh.
Tunategemea kwa heshima yenu kujibiwa suali lifuatalo – Allah akulipeni kheri
.
SUALI:-
Amedhihiri katika nchi ya Tanzania katika siku za karibuni mchungaji anaedai/anaezua kwamba Mungu amemuonesha katika usingizi dawa ya kila maradhi!
Na kwahakika nilifanya uchunguzi kuhusu habari zake kupitia vyanzo husika na vyenye kuaminika…
Endelea