Fesal Humud Fesal has not received any gifts yet
Lujain Rash amewacha salamu kwa Fesal Humud Fesal
Fesal Humud Fesal amezungumzia picha ya BENJAMIN JAMES hii hapa
Fesal Humud Fesal amezungumzia picha ya Fesal Humud Fesal hii hapa
Mathna Ahmed amezungumzia picha ya Fesal Humud Fesal hii hapa
Fesal Humud Fesal amezungumzia picha ya Salma Suleiman Juma hii hapa
Fesal Humud Fesal amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'Salamu kitu azizi,wanadamu kupeana.salamu yatokea enzi,sio imeanza jana.
salamu ni ya mwenyezi,sisi waja kwetu sunna.salamu si kubwa kazi,muda wako
kuubana.salamu huzaa penzi,furaha na uungwana.salamu ina mapenzi,watu
wanapo peana.salamu ndio hirizi,ya watu kushikamana.salamu huondoa majonzi
mnapo salimiana.salamu huleta njozi,wapi tulipoonana.salamu ni simulizi,na
heshima kubwa sana.salamu si uchokozi,jibu ukawa huna."Asalamu Alaykum"
ewe mja ulioitembelea profile yangu fesal06@hotmail.com.
Imetumwa tarehe May 24, 2012 saa 6:56am — 0 Maoni 0 Pongezi
Imetumwa tarehe May 17, 2012 saa 10:08pm — 0 Maoni 0 Pongezi
Imetumwa tarehe March 2, 2012 saa 9:02am — 1 Maoni 2 Pongezi
Kupenda ni hali Fulani inayotokana na mtu juu ya mtu ni jambo jema lenye kuleta
Furaha na faraja hasa ikiwa anaekupenda ndie ambae wewe unampenda, ila
Halina furaha ikiwa anaekupenda wewe humpendi ,na halina faraja ikiwa unaempenda
Yeye hakupendi ujumbe wangu wa leo nawapenda sana marafiki zangu wapenzi nawatakia jumaa kareem na maisha mema yenye amani .
Endelea
Lujain Rash kasema…
sabra ahmed kasema… Ewe mola mjaalie mja wako huyu huniombea kheri,Lakini yeye mpe mara mbili muitikie kabla hajakuita,mpe kabla hajakuomba,Mzibishie kabla hajapungukiwa,Mkuze kabla hajazalilika,Mfariji kabla hajahuzunika,Na unijalie mimi niwe jirani yake peponi Amiin,
Nakupenda sana rafiki yangu Fesal.
sabra ahmed kasema… Wallah maneno yako yameukonga moyo wangu sana Sakafu wangu wa moyo na kama sitosema basi nitakuwa mchoyo wa fadhila kwako Ahsante na sitoacha kusema nakpenda sana khabiby wangu kipenzi Fesal mwaaaaaaah!
sabra ahmed kasema… Amiin yarabal alamiin ewe asali wangu wa moyo,shukrani jaziira kwa ujumbe wako mzuri sana kweli nimeupenda na kuupokea bila hiyana yoyote,Fesal sitaki kusema maneno mengi juu yako ila tu All my heart with you ma'best friend.
have a joyful day.
kauthar ally kasema… waaleikum musalam warahmatullah wabarakat wote wazima ALHAMDULILLAH TUMESALIMIKA INSHALLAH NA NYIE WAZIMA shukran kwa kunikumbuka
sabra ahmed kasema… W/msalaamu ya khabiby wangu mpendwa, nimefurahi sana kupata message yako leo kwani nilipatwa na hofu kikubwa cha kimya chako na kukumiss sana sakafu wa moyo wangu,Na ninafurahi kusikia ulikuwa safari na umerudi salama,mi nipo tu kipenzi changu hapo juzi kati nilikuwa naumwa ila kwa sasa niko vyema kabisa namshukuru Allah.
sabra ahmed kasema… W/msalaamu ya Habiby wangu nikupendae kwa dhati,na Amiin kwa dua zako ziwe nasi kwa ujumla,
Na naomba utie akilini hili jambo maana ni muhimu
Usiwachukie watu kwa khali zao,wapende kwa tabia zao,usiwaamini kwa kauli zao,washuhudie kwa matendo yao,usiwadharau kwa ufukara wao,bali waheshimu kwa utu wao,Inshaallah na usiku mwema lipenzi changu Fesal bin Humud.
sabra ahmed kasema… Shukran kwa kupokea salamu zangu ya habiby wangu mpendwa bin Humud.
IJUMAA KAREEM
Mambo matatu fanya kwakufikiria sana,1Mapenzi,2Maongezi,3Maamuzi
Vitu vitatu havimngoji mtu, 1Mauti, 2Wakati, 3Umri,
Mambo matatu usiyaone mepesi,1Majukumu,2Maradhi,3Deni,
Mambo matatu usipo yafanya ujue ni motoni,1Swala,2Swaumu,3Zaka,
Mambo matatu yafikiri kila mara,1Allah,2Qiyama,3Sadaka,Inshaallah nawe pia uwe miongoni mwa kutekeleza hayo,
Naiusia nafsi yangu na kuwausia wenzangu pia
Ni hayo tu rafiki yangu nikupendae kwa dhati.
sabra ahmed kasema… Fesal bin Humud nakupa furaha zangu kwa 100% na hata ukitaka 300 nipo tayari,Ahsante sana kwa zawadi zako nzuri sana nipezipenda Habiby wangu.
sabra ahmed kasema… Fesal Bin Humud
Aliyekuzaa wewe dua njema namuombea,
Kwani kaleta chema Mungu kamjaalia,
Si rahisi kupatikana katika hii dunia,
Mashaallah Rabii akupe kila jema na maovu akuepushie,Amiin.
© 2012 Created by zanzibarwebsite.com.