Marafiki wa Al-zaeem'

  • arafa abdulmajid juma
  • uncle shebe
  • mashaka omar makiya
  • salum ali said
  • angel

Mijadala ya Al-zaeem'

Babengwa naomba msaada

Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na Al-zaeem Dec 11, 2011. 4 Majibu

      Bw Babengwa naomba ufafanuzi tafauti ya Lahaja na lafudhiEndelea

Sandevass.co.uk

Umeanza Oct 14, 2011 0 Majibu

  Slam aleikum    Nduguzangu wanachama wa Zanzibar web                            Tangazo     Napenda kuwajulisha  kidogo kuhusu chama chetu cha Sundevass       Sunudevas ni chama cha kuwasaidia…Endelea

Kusudio

Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na Al-zaeem Jul 29, 2011. 3 Majibu

                    Naomba  munisaidie   maana  yake                        kakosa mtoto na maji ya motoEndelea

Gifts Received

Gift

Al-zaeem has not received any gifts yet

Peleka zawadi

 

Ukumbi wa Al-zaeem

Matukio ya Karibuni

Al-zaeem amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
May 22
Al-zaeem amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
May 17
arafa abdulmajid juma amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

غباء الشعب الأمريكي

"ndio tunatakiwa waislam tuwe wamoja ili kuweza kutawala ulimwengu kwa sheria za allah"
May 10
arafa abdulmajid juma amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
May 10
Mahir Said amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

QIAMAT KI NISHANI mp4

"Hii ni kawaida tu kule nchi za wahindi."
May 7
Al-zaeem amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

QIAMAT KI NISHANI mp4

"Tazama uislamu wa hao mapakistani wauza mikhadarari huu siujahili waliiyadhu bilahh"
May 7
Al-zaeem amejibu mjadala wa Mahir Said 'Kabla ya Uislamu kufika Zanzibar.'
"Walokuja sio waarabu hapo mwanzo ni waislamu huenda waarabu walikuwepo zaidi ya wenzao wengine walifika visiwani kabla ya hijra ya mtume s.a.w kwenda madina, walokuja waarabu katika karni ya 17 uislamu ulikua tayari ushafika Visiwani  "
May 6
Al-zaeem amezungumzia picha ya ZANZIBAR hii hapa
Thumbnail

Tuachiwe tupumue.3

"Yaaarab itimu azma wazinduke umma utuongeze himma Serekali ya Zanzibar iwe ya umma wanaoshukuru zako neema miyaka nyingi tumezama twakuomba mola wetu iteremshe rehma tuanaishi hali zetu kama wana yatima  yailahi ni wewe peke unayeweza…"
May 6
Al-zaeem amepongeza picha ya ZANZIBAR hii hapa
May 6
Al-zaeem amepongeza video ya ZANZIBAR hii hapa
Apr 30
Al-zaeem amezungumzia video ya ZANZIBAR hii hapa
Thumbnail

SABABU YA KUUKATAA UMOJA HUU ~ UAMSHO KINYASINI

"Aloweka hii video mola inshallah amepushia   bala na  Duniani  afaidike na akhera anawirike kwa jaha ya mtume wetu kipenzi Momhamad Sallahu Aleihi wasalma "
Apr 30
Abdullah Eisa amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

غباء الشعب الأمريكي

"This video prove that american citizen controlled by media , and mostly media there, they use to wash them brain for any reason against Islam.  So, our duty to  show them real spirit of Islam .  "
Apr 27
Al-zaeem amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

غباء الشعب الأمريكي

"Eti huu umma ndo wanaendesha ulimwengu huu subhanallah Wallahi na wallahi waislamu wakija shikamana watatawala dunia , angalia ujinga wa umma huu "
Apr 27
Al-zaeem amezungumzia video ya Al-zaeem hii hapa
Thumbnail

صورة رسول الله عند الشيعة !!!

"Ukweli huyu mtangazaji anasema walipo chunguza wakaikuta hio picha ambapo mashia wanasema kwamba ya mtume s.a.w alipokua na umri wa miaka 17/18 ukweli ilikuwa ya mjarumani  alie kuwa photographer katika mwka wa 1905 "
Apr 24
Al-zaeem shared ALSAUDI's video on Facebook
Apr 22
Al-zaeem amepongeza video ya ALSAUDI hii hapa
Apr 22

Profile Information

Asili yako (Ethnicity)
Mwarabu
Umri (Age)
40
Dini(Religion)
Muislamu

Picha za Al-zaeem

Loading…
  • Ingiza Picha
  • Angalia zaidi

Al-zaeem's Videos

  • Ingiza Videos
  • Angalia zaidi

Makala za Al-zaeem

Wabara wanageuza lugha ya kiswahili

Imetumwa tarehe August 20, 2011 saa 6:49pm — 0 Maoni

Nona wabara wanafanya juhudi lugha hii ya kiswahili kuigeuza ,ukitazama watu wasozungumza kiswahili wanona kuwa kiswahili kimetoka Tanganyika , ndo ukaona wabara hawashughulishe wazanzibari katika marekebisho yanao ongezeka kila mara katika lugha hii ya kiswahili sababu wanhakika kuwa wazanzibari hawatakubali upumbavu huo , lakini naona vijana wetu wemesha ambukizwa na maradhi hayo , kwa sababu vijana wa kizanaibari asili kubwa sasa huzungumza kiswahilio cha kizaramu ukimuliza vipi maree mengi… Endelea

Nini kakusuid?

Imetumwa tarehe July 21, 2011 saa 4:13pm — 0 Maoni

 

                   Huu mfano hasa  una funzo gani

 

                                   Utakosa  Mtoto na maji ya moto

 

        Nomba wajuzi  mnisaidie 

Nini khasa?

Imetumwa tarehe July 20, 2011 saa 2:00am — 2 Maoni

 

 

               Mifano ya kiswahili yananipa tabu jamani mfano huu uanasema

 

 

                UTAKOSA MTOTO NA MAJI YA MOTO 

 

                    MAKUSUD

Ukumbi wa Salamu(Salamu 2)

Lazimwa uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kutuma Ujumbe

Join Zanzibarwebsite

Saa 5:13pm tarehe September 27, 2011, mashaka omar makiya kasema…
hinds
Saa 5:12pm tarehe September 27, 2011, mashaka omar makiya kasema…
asalam alaykum,it is not halal for a muslim to shun his brother for more than three nights, that is they meet and this one turns away and that one turns away.The better of the two is the one who says the greeting first.?
 
 
 

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service