Umeanza Apr 15 0 Majibu 0 Pongezi
Assalaam alykum wapendwa>>, tarehe 14/05/2012 kulifanyika mkutano wa CCM katika maeneo ya Mumbiji kwa Mabata .. viongozi wwaliohutubia mkutano wote walitjikita sana katika kuwatukana viongozi…Endelea
Ameanzisha Mjadala huu. Jibu la Mwisho na tahiya al riyamy Jan 5. 5 Majibu 0 Pongezi
NASIKITIKA SANA CV yako umeiharibu baba CUF ilianza kwa bismillahi wako wapi waliotoka saiv hawatajwi tena na ww unaelekea huko? pole sanaEndelea
Umeanza Dec 25, 2011 0 Majibu 0 Pongezi
zamani watu walidhani kuwa CUF (the civic united front) ni chama cha kiislamu coz imeanzishwa kwa jina la bismillahi!pamoja na hayo watu wengi tuliteswa na kuwekwa ndani kwa ajili ya nakala za…Endelea
Ali Hamad has not received any gifts yet
Al-Udii amejibu mjadala wa Ali Hamad 'CV UMEIHARIBU'
bushako amejibu mjadala wa Ali Hamad 'CV UMEIHARIBU'
bushako amejibu mjadala wa Ali Hamad 'BEI YA ZAO LA KARAFUU'Imetumwa tarehe January 7, 2012 saa 9:23am — 0 Maoni 1 Pongezi
kwanza natoa salam,< ASSALAAM ALYKUM>
Wapendwa wasomaji. Tuliko toka ni mbali sana na hatuna budi kumshukuru M/Mungu .. tulikuwa vipofu wa nchi tusio jua linaloendelea katika nchi (ZANZIBAR na TANGANYIKA) kwa ushirikiano wa watu walioitakia mema ZANZIBAR walipanga shauri ya kuunda Chama ili kufikisha ujumbe kwa wannchi wote. Badhi yao walikuwa wafanyakazi walio acha kazi zao na wengine kuacha hata kuwasaidia wanawao kwa kwa kufikisha ujumbe wa kuwa dhulma tulionao inapaswa…
Endelea© 2012 Created by zanzibarwebsite.com.