Marafiki wa Abdullmalik'

  • Kidu Ally Hamad
  • sabra hans
  • ahmed w. ambakisye
  • Fidelister Michael Laswai
  • simom m mmasy
  • Ndimu Mkata Shombo
  • eddy nassor
  • sufiyan bin abdullah
  • Hawa khaled
  • nadhra a hajj
  • Veronica John
  • ABUBAKER AL AMOUDI
  • adamspain
  • neemagaudence
  • aisha
 

Ukumbi wa Abdullmalik

Matukio ya Karibuni

Abdullmalik amejibu mjadala wa BABENGWA 'kazi ya BABENGWA.'
"Tupo pamoja....hakuna kuregeza kamba Muamsho wa Zanzibarwebsite kwenda mbele."
saa 1 ilopita
Fesal Humud Fesal amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'
"Huyu anatangaza vita na m mungu kamwe hatoshinda...."
May 24
Salim R Abdulla amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'
"Hii ni laana ambayo hata wanyama hawafanyi wachilia mbali binaadam na akili yao waliopewa na Mungu Mtukufu"
May 24
Salim R Abdulla amepongeza mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'
May 24
BABENGWA amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'
"HIZO NDIO NJAA za wanasiasa, na hizi ndio fikra zake akijua OBAMA - hizi civil union imebeba watu wengi ambazo ni kura za NDIO ,Sasa aseme nini zaidi ya kufyagilia mashoga na wasagaji ,hali haki za msingi kimaumbile kwa sheria hizo hizo zao…"
May 22
Mathna Ahmed amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Barack Hussein Obama'
"Danmed if they allow civil union, danmed if they forbid,everything about Americans is a mess "
May 20
Abdullmalik amezungumzia picha ya ummy salim sheikh hii hapa
Thumbnail

Photo-0382

"Mathna@ mbona unaanza kumtia roho mbaya mwenzio wacha tuone ''Fahari ya Jicho haifilisi duka"""
May 14
Maulid Juma amezungumzia picha ya Abdullmalik hii hapa
Thumbnail

Kuchekiwa Bikira

"watanzania tujitahidini tuwe na maendeleo ya utamaduni wa dini na maisha yetu ya kitanzania maana jambo kama hili sio zuri,hasa kwa wanawake ni sawa na kujwatovukia adabu na kuwakosesha waume."
Apr 26
Habib AWESI Mohamed amepongeza mjadala wa Abdullmalik 'JEE KWELI WAZANZIBARI NI WAVIVU WA KAZI!!?'
Apr 20
bushako amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Liwati ndani ya Shule'
" inna lilahi wainnailayhi rajiuunn  kosa kubwa kwa muono wangu siku hizii kuna mitandao mingi ya kijamii wanafunzi wanaona vitu live na binadamu hupendelea kuiga baada ya kuiga, utakuta kuna baadhi ya michezo ya kwenye dvd  nchi…"
Apr 20
bushako amejibu mjadala wa Abdullmalik 'JEE KWELI WAZANZIBARI NI WAVIVU WA KAZI!!?'
"ndugu yangu maliki , tabia ya viongozi kuwadharau wapiga kura wake hii ni  kama ngoni ya binadamu , viongozi wetu wakituomba kura hutuwambiya waheshimiwa wapiga kura wakishakuwa wabunge hutuita tuna akili finyu ni kweli hawakosei kutuita akili…"
Apr 20
BABENGWA amejibu mjadala wa Abdullmalik 'JEE KWELI WAZANZIBARI NI WAVIVU WA KAZI!!?'
"Mie huwa sisikilizi bunge wala baraza la washiriki kwani huona kama ni kelele za mlango.   Seriousness ,solidarity and zeal of barking people in houses are like dogs seldom bite.   Yeye ,mabodi kama ayajua hayo amechukua hatua gani binafsi…"
Apr 19
BABENGWA amejibu mjadala wa Abdullmalik 'Liwati ndani ya Shule'
"Laana ! imetuingilia hivi kama wewe mletaji habari kama wewe unatushauri nini ? Jee! ni busara kupewa habari na mtoto aliyejeruhiwa kumramba viboko ? Jee ! suluhisho la kuwafukuza afiriti hao shuleni ni suluhisho.   Hebu, tumia busara zako,…"
Apr 19
Abdullmalik amezungumzia makala ya Nasren Awadh 'No Title'
"Mapenzi kitu khiyari    Mtu kujikubaliya Yataka mtu akiri         Chochote kujitoleya Ndio yatapo nawiri      Maisha kuendeleya Mapenzi kitu…"
Apr 9
Jamilya amezungumzia picha ya Abdullmalik hii hapa
Thumbnail

Kuchekiwa Bikira

"Kaka Dany bila ya shaka utakuwa na pasaka njema,nilikuwa na jambo mmoja limenitatiza na sina budi kulieleza wazi kwa vile huu ni wakati wa ukweli na uwazi,mbona io picha uliyoiweka ya bwana wa mbinguni na njia ya uzima wa milele haina tofauti sana…"
Apr 6
suley amezungumzia picha ya Abdullmalik hii hapa
Thumbnail

Kuchekiwa Bikira

"WAHUSIKA TUNAOMBA PICHA ZA NAMNA MSIZI RUHUSU KWANI ZINA KWENDA KINYUME NA MAADILI NA HASA UKIZINGATIA WANACHAMA WENGI NI WAISLAMU NA PICHA KAMA HIZI HAZIFAI KWA MWISLAMU KUZIANGALIA. NDUGU ABDUL MALIK MUOGOPE MOLA WAKO KUWEKA PICHA ZA NAMNA HII NA…"
Apr 4

Profile Information

Asili yako (Ethnicity)
Mwarabu
Umri (Age)
37
Urefu (Height)
5.5
Ndoa (Marital Status)
Bado Nipo
Watoto (Children)
Sina
Kazi (Occupation)
Bizness
Burudani (Hobbies)
Music, spotrs
Dini(Religion)
Muislamu

Picha za Abdullmalik

Loading…
  • Ingiza Picha
  • Angalia zaidi

Abdullmalik's Videos

  • Ingiza Videos
  • Angalia zaidi

Makala za Abdullmalik

Jamaani Naomba busara zenu

Imetumwa tarehe February 12, 2012 saa 8:29am — 5 Maoni

Ndugu Zangu.

 

Kwakuwa mimi ni binadamu kama binadamu kama binadamu yoyote yule, udhaifu wangu nimeuona toka mwaka huu kuingia, niweke wazi kwamba mm Abdullmalik Nasser nimepata mke hapa hapa ukumbini udhaifu wangu kwa kwanza ni uchoyo wa kutokualikeni harusi wana ukumbi wenzangu hii nimeifanyia utafiti nikagundua kuwa wivu umechangia kwa hili.

 

kadhalika sitopenda kumtaja mwenza wangu ila katika masharti yetu…

Endelea

MPENZI MWENYE MALENGO

Imetumwa tarehe December 13, 2011 saa 9:27am — 0 Maoni

Sababu kubwa kuandika mada hii fupi juu ya ukweli ulokithiri ya baadhi ya wapenzi wasiokuwa na malengo, hivyo ndugu usikubali kabisa mtu akuchezee, tafuta mtu mwenye malengo ujue nini kakusudia juu yako isiwe anataka kusogeza siku tu kisha anakupotezea.

Nimefanya uchunguzi wa kina, nikagundua wapenzi wengi hapa kwetu unguja wanapenda uhusiano wa majaribio, je wewe ni wa majaribio? sasa kwa nini basi unamruhusu mtu aingie kwenye historia yako wakati lengo lake ni kupita tu…

Endelea

Mfadhaiko (kujigandamiza)

Imetumwa tarehe April 27, 2010 saa 9:00am — 1 Maoni

Da! kweli dunia inakwenda pabaya, nilipokuwa mdogo nilikuwa nikimshangaa sana jirani yangu mmoja, yeye alikuwa na tabia kila ikifika asubuhi hupendelea kutembea madukani na akiona mkusanyiko wa watu na yeye hutaka kujipenyeza kuwagandamizia wenzake(wanawake) mara nyingi alipata kashifa hii, kwani ilifika wakati akawa haogopi tena na jambo hili hulifanya wazi wazi, tena kila akiona wanawake waliojazia hapa ndio mfadhaiko humpata kwani hata kama kuna kadamnasi(watu wengi) yeye atajipenyeza…

Endelea

Tatizo la kufika kileleni mapema

Imetumwa tarehe March 21, 2010 saa 10:00am — 8 Maoni

Miongoni mwa tatizo kubwa kabisa yanayowakabili wanaume wengi ni kufika kileleni mapema, inasemekana katika wanaume kumi basi saba wana matatizo hili, hizi na takwimu za zisizo rasmi, wengi wanalalamika muda wanaotumia kati ya nusu dakika na dakika mbili, katika hatua ya kwanza wengine ikifika hapo hawana hamasa tena kimahaba.

Ndoa na wapenzi wengi wameachana kutokana na kasoro hii waliyonayo wanaume, wengi wameonekana 'si keki kwa wapenzi wao kwani jambo hili humsababishia…

Endelea

Faida ya tendo la ndoa.

Imetumwa tarehe February 28, 2010 saa 10:21am — 1 Maoni

Ifahamike mapema kuwa ninapozungumza faida za tendo la ndoa sichochei watu wasio katika ndoa na kuikaribisha zinaa, au kuchochea watu kufanya ngono, ujulikane kuwa ufanyaji wa mapenzi kiholela madhara yake ni hasara kubwa, ewe msomaji fatilia sababu kuu, na faida ya tendo la ndoa kwa masilahi yako, na kama itakuwa kuna mtu hajapendezewa naomba kutanguliza samahani sana.

1: Kiafya

Tendo la ndoa ni moja kati halali zilizo kubalika…

Endelea

Ukumbi wa Salamu(Salamu 59)

Lazimwa uwe mwanachama wa Zanzibarwebsite ili uweze kutuma Ujumbe

Join Zanzibarwebsite

Saa 9:28am tarehe May 24, 2012, Dhikrayat...The Cool & Fine... kasema…

aaww

 

mmmmh bwana wewe, naona tangu siku nilokupa home work ufanye umepotea, sijakuona teeeeeeeeeeeeena.

haya natumai umefanya tulivo zungumza.

nakutakia kila la kheri.

Saa 4:26pm tarehe February 2, 2012, sabra hans kasema…

helw abdull mziam wewe habari za muda rafiki..................

Saa 3:45pm tarehe November 30, 2011, NASSER kasema…

kake uwapi naona sikuoni au ushaongeza jiko

Saa 3:45pm tarehe November 30, 2011, NASSER kasema…

kake uwapi naona sikuoni au ushaongeza

Saa 1:58pm tarehe September 8, 2011, NASSER kasema…

kake tuzinduane kabla ya mauti baada ya mauti ni mambo mawili ni kheri au shari-- kunsikiaa kake

 

Saa 7:29am tarehe August 22, 2011, RSALIM AL KITANY kasema…
INSHAALLAH ALLAH AKIPENDA TUTA ONANA
Saa 7:29am tarehe August 22, 2011, RSALIM AL KITANY kasema…

A A W W

 NIKO ZNZ  NA HII NAMBA YANGU 0776036267

Saa 2:38pm tarehe July 29, 2011, sabra hans kasema…
hellw abdul
Saa 1:21pm tarehe July 22, 2011, Fidelister Michael Laswai kasema…

mimi ni mwenyeji wa Moshi Kilimanjaro nami nimefurahi kukufahamu.

Ninashukuru sana, nakutakia siku njema

Saa 1:14pm tarehe July 22, 2011, Fidelister Michael Laswai kasema…
thanks very much Mr. Abfullmalik

Checkers

 
 
 

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service