Kwa kila alie na uchungu kutokana na msiba wa kuzama kwa Meli na kupotea kwa maisha wa watu zaidi ya mia mbili hapo jana Alfajiri ana wajibu wa Kulaani kitendo cha Vodacom kuendelea na shindano la UREMBO hapo jana usiku bila kujali huzuni na msiba walio nao WATANZANIA kutokana na ajali hiyo.

Kurasa: Kuzama, Meli, Msiba

Views: 299

Jibu Hii

Majibu ya Mjadala huu

naomba kuungana nawe na kuwaomba wengine wailaani voda na kama wanatumia netwark ya voda waihame kabisaa kwani hawana ihsani
Mimi mmoja wao nilimehama kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Voda
Naungana na wazanzibar wenzangu tuwe na subira kwa kipindi hiki kigumu....na pia napenda kuwaalani Vodacom kwa kutowajali wazanzibar na kuwaona kama sio sehemu ya Tanzania nahisi mie ingelikua meli hii imetokea upande wa bara jee wangeendeleza mashindano au ndo zarau gani wanayoleta na tuwatafsiri nini hapa.
WALIFANYA DHARAU KUBWANA KUTOJALI UBINAADAMU VODACOM WALIONA TOKEO LILITOKEA ZANZIBAR NA SIO HUKO BARA

NAAUNGANA NA WAZANZIBAR WOTE KWA MSIBA MKUBWA ULILIKUMBA TAIFA KWA UZEMBE WA WATU WENYE TAMAA YA PESA BILA KUJALI ROHO ZA BINADAMU,KWANI UWEZO WA CHOMBO HAUANGALIWI BALI HUANGALIA PESA TU,EE JAMANI TUWE NA INAMANI NA HURUMA KWANI ROHO YA BINADAMU HAINA SAMANI YA CHOCHOTE, KILA KITU KITAPITA NA MAREJEO NI MOLA MOWEZA,

VODACOM,VODACOM,VODACOM,TUSUSIE KIBIASHARA,WAO WAMEFURAHI KWA HAYA YALIOTUPA SISI WANZANZIBAR ..EWE MOLA MUWEZA WAWEKE MAITI WOTE KWENYE PEPO YAKO NA WALIUMIA UWAPE UZIMA AMEN RABI AMIN

      Ni kweli Ndugu yangu, na wala usilaumu VODACOM tu bali hata serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, imefanya hila au ujanja fulani, Kwanini Wizara ya Utalii na maliasili inayoshughulikia mambo haya ya yasiyo yakiungwana dada zetu kupimwa ukubwa wa hips na viuno vyao huku wakipita uchi mbele Hadhira, kwanini wasisitishe haya, ikiwa ni siku hiyohiyo Rais Jakaya Kikwete Alisitisha ziara yake ya kikazi nchini CANADA?

     Halafu kwanini hata kugusia kwenye sms kwenda kwa wateja wao hawajafanya kama walivyofanya mashirika mengine?

Laana iwadhibitikie ,wacheza viuno hao na wajue mwisho wao hauko mbali kabla ya vifo vyao wajue ngozi zitakunyaa na kufulia kama beberu kiwete,wao na wafadhali wao - VODACOM.

 

Nirusha kwa uchungu! hayo kwani BALAA au Janga linapozuka ikawa nafsi haishtuki huko ni kufa kwa moyo na kupoteza imani licha yadini hata hata ubinaadamu unakuwa haupo.

NAMI wazi wazi , moja kwa moja, jino kwa jino naungana na wote wanalaani jambo hilo.

tatizo  watanzania hatujari matatizo ya wenzetu wanaona zanzibar kama libya vile wakati nchi mmoja.nashauri hata hao star tv nao watu waache kupeleka matangazo yao kwani wao ndoo waliorusha matangazo.kwahiyo watanzania tuameni mtandao wa voda na star tv ili watu wengine wapate fundisho.
Taarifa nilizothibitishiwa punde hivi ni kwamba Serikali ya Zanzibar imekataa kupokea msaada wa madawa na vifaa vyengine kutoka VODACOM TANZANIA ikiwa ni kuheshimu hisia za Wazanzibari walio wengi waliochukizwa na kitendo cha kampuni hiyo ya simu kuendelea na onesho la kutafuta Miss Tanzania wakati Wazanzibari wamo katika dimbwi la simanzi na huzuni kubwa zilizotokana na ajali ya meli ya MV SPICE ISLANDER by Ismail Jussa

 INNA LILAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUNN

 SINA BUDI KUUNGANA NA WANZANZIBAR WENZANGU WOTE KUWA , KUULAAAAAANI KITENDO CHA VODACOM SI CHA UBINADAMU NA KINAIDHALILISHA NCHI YETUU NAOMBA SERIKALI ISIKIE HILI NA IWEZE KUWACHUKULIA HATUWA ZA KINIDHAMU MARA MOJA.

 UKITAKA KUMJUWA RAFIKI YAKO WA UKWELI BASI KWENYE DHIKI , AMA SHIDA  , AMA MATATIZO , WALITUUONESHA VODACOM NI KUTUTHIBITISHIA KUWA WAO SIO WENZETU NA SS HATUNA HAJA YA KUWA NAO 

 NINA IMANI SERIKALI YETU NI SIKIVU SANNNNNAA NA WATALIFANYIA KAZI HILI 

 MWISHO NAPENDA KUWAOMBEA MAJERUHI M/MUNGU AWAPONESHE MARA MOJA INSHALLAH ILI WAJENGE TAIFA LETU 

 AHSANTE SANA MTOWA MAAADA HII

Wa-znz tuache kulaumu. kuwalaum voda, serikali nk. haisaidii. tujali maisha yetu sasa. tujenge maisha yetu inshàllah Allah atasaidia. Poleni wote mliofikwa na msiba.
....jamani tukichangia tuwe na uchungu na wa Zanzibari wenzetu  waliopoteza maisha na waliopoteza ndugu zao na sio kujisemea tu...kwani kama hazijapokelewa dawa kutoka voda ndo watu watakufa? kwani dawa zao ndo zinazuia roho isitoke? na wala sioni busara ya kupokea misaaada kutoka kwa rafiki mnafiki ambae anayefurahia wakati weye  una msiba mkubwa sana, ni kweli jamani haisaidii kulaumu mtu ila unafiki wa kuleta dawa wakati walifanya party tulipota janga hatuutakii kabisaaaaaaaaaa.

RSS

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service