Welcome to Zanzibarwebsite!

Picha

  • Ingiza Picha
  • Angalia zaidi

Videos

  • Ingiza Videos
  • Angalia zaidi

Groups

 

Wanachama

Matukio ya Karibuni

Abdullmalik amejibu mjadala wa BABENGWA 'kazi ya BABENGWA.'
"Tupo pamoja....hakuna kuregeza kamba Muamsho wa Zanzibarwebsite kwenda mbele."
dakika 59 zilizopita
BABENGWA amejibu mjadala wa HAJI ATHUMANI TUPPA 'VIPI KUHUSU HISTORIA JE NIYAKWELI'
"Huyo aliyekuja ni falsafa hio - si muumini wa dini yeyote ni PAGAN ( Charles Darwin) . Amekuja na falsafa kwa kutmia akili yake bila ya kutafuta maandiko -Mola amesemaje juu ya asili yao binaadamu. Wako wanakubaliana naye na wakijua hata binaadamu…"
saa 1 ilopita
BABENGWA amejibu mjadala wa ZANZIBAR 'KATAA MUUNGANO MZANZIBARI'
"Sikuwa na maana ya kukutahini kwa kukupa masuala MAGUMU kama unavyodhani ,LAA ! Mimi nilipenda kujua upeo wa jinsi unavyoyaelewa haya na kwa kiasi gani umeyapa nafasi katika wakti wa SASA. Ahsante mie kwa hili nimetosheka  kuliongelea…"
saa 1 ilopita
SEIF amezungumzia video ya ALSAUDI hii hapa
Thumbnail

wasia kwa bibi harusi 1

"hakuna wasia kwa babu harusi?"
masaa 11 yaliyopita
Abdullah Eisa amepongeza picha ya ZAMIL hii hapa
masaa 13 yaliyopita
Robert Sononga amejibu mjadala wa ZANZIBAR 'KATAA MUUNGANO MZANZIBARI'
"BABENGWA,  UNIULIZE MASWALI MAGUMU, HAYA ULIYO NIULIZA NI MEPESI MNO. Nami naya jibu kama ifuatavyo :- 1. Pale ambapo wananchi watakopo ifahamu kwa Undani SIASA Kuwa ni SIHASA, Watakuwa wakishindana kwa Nguvu za Hoja, kwa Kuwahoji wawakilishi…"
masaa 16 yaliyopita
BABENGWA amejibu mjadala wa ZANZIBAR 'KATAA MUUNGANO MZANZIBARI'
"Mdau wangu nimezipitia paragrafu zako saba (7) hapo juu- NIKAIBUA HAYA YAFUATAYO : 1.Elimu ya Siasa lazima ithibitiwe( sisi yeyote awaye)    Udhibiti wa nani amthibiti nani ?Na Kwa Manufaa ya nani ? Wakati hili jambo la Elimu lina…"
masaa 17 yaliyopita
FAIQA amepongeza ukumbi wa SEIF
masaa 17 yaliyopita
Salma Suleiman Juma na profmpenza sasa ni marafiki
masaa 18 yaliyopita
Robert Sononga amejibu mjadala wa ZANZIBAR 'KATAA MUUNGANO MZANZIBARI'
"NIME - KUSOMA KWA MAKINI. Hapo Kisiwani, Panga Pangua, Elimu ya Siasa inahitajika kwa Urefu na Upana wake. Maana picha ninayo ipata, NI kwamba Hali isipo dhibitiwa Wananchi wana Hasira ya Makanisa, Muungano, Uzanzibar itakuja Uzanzibara, itakuja…"
masaa 21 yaliyopita
BABENGWA amejibu mjadala wa ZANZIBAR 'KATAA MUUNGANO MZANZIBARI'
"Nilitamani MDAU kuishiwa na maneno kwa hili lakini maelezo yamenisukuma niseme chochote. Hivi, kanisa ukidhani lina haki ya kuzungumza " neno ya Mungu" BILA YA KUSOMESHA " taarifa zozote mpya zilizowazunguka wafuasi juu ya mustakbali…"
masaa 22 yaliyopita
Ujumbe umetumwa na manaseh yusuf
"Nimemuambia girlfriend wangu nataka kumposa nimuoe, akajibu "ngoja nifikirie kwanza" inamaanisha nini? Nifanye nini?""
masaa 23 yaliyopita
warda yassin na tilambongo kiboko sasa ni marafiki
masaa 23 yaliyopita
Robert Sononga amejibu mjadala wa Mohammed Abdallah Mohammed 'Maendeleo ya Zanzibar Kabla ya Muungano'
"MKUU WETU BABENGWA. Kutoka Moyoni napenda kusema kuwa Wazanzibari Tunawapenda sana, kwanza kwa wingi wa Mzaha na Tungo mwanana, hasa Ukisikiliza Ngoma ya "MSEWE". Zumari Hupulizwa kwa Ustadi mkubwa, kisha Burudani ipo kwa wachezaji,…"
Jana
SEIF amezungumzia picha ya Sumiyati hii hapa
Thumbnail

Just Check This Out !!!

"seif amewacha salamu kwa sumiyati"
Jana
SEIF amerekebisha ukumbi
Jana
salma khamis na ngendambizi ramadhan sasa ni marafiki
Jana
Innocent Justin amerekebisha ukumbi
Jana
salma khamis amezungumzia picha ya salma khamis hii hapa
Thumbnail

salma

"ok poa ahsante sana"
Jana
Robert Sononga amejibu mjadala wa BABENGWA 'Ushoga !'
"KAKA BABENGWA, Amini nakuambia Bara letu la Africa lina utajiri mkubwa sana, wa kila Kitu, utajiri ambao hadi sasa haujatunufaisha vya kutosha sisi wenye Bara letu. Kwa nini tusiziendeleze zile fikra za akina Kwame Nkhruma, akina Julius Nyerere,…"
Jana

Michango maarufu wiki hii 

1 Maendeleo ya Zanzibar Kabla ya Muungano

Maendeleo ya Zanzibar Kabla ya Muungano

imetumwa na Mohammed Abdallah Mohammed on May 10, 2012

2 kazi ya BABENGWA.

kazi ya BABENGWA.

imetumwa na BABENGWA on June 29, 2011

3 SIJIGAMBE....

SIJIGAMBE....

imetumwa na murshid on February 23, 2012

4 Barack Hussein Obama

Barack Hussein Obama

imetumwa na Abdullmalik on May 14, 2012

5 SAIDIA JAMII

SAIDIA JAMII

Added by BENJAMIN JAMES on May 21, 2012

6 Aisha

Aisha

Added by AISHA SALIM on May 24, 2012

7 DADA NJOO-TUACHIWE TUPUMUEE.

DADA NJOO-TUACHIWE TUPUMUEE.

Added by ZANZIBAR on May 24, 2012

8 twoheads

twoheads

Added by maulid hassan on May 18, 2012

9 CIMG2931

CIMG2931

Added by Fesal Humud Fesal on May 24, 2012

10 wasia kwa bibi harusi 1

wasia kwa bibi harusi 1

Added by ALSAUDI on May 28, 2012

Baraza

kazi ya BABENGWA.

Muanzilishi ni BABENGWA in Maswali na Majibu. Jibu la Mwisho na Abdullmalik dakika 59 zilizopita. 7 Majibu

VIPI KUHUSU HISTORIA JE NIYAKWELI

Muanzilishi ni HAJI ATHUMANI TUPPA in Mada Mseto. Jibu la Mwisho na BABENGWA saa 1 ilopita. 1 Jibu

KATAA MUUNGANO MZANZIBARI

Muanzilishi ni ZANZIBAR in Mada Mseto. Jibu la Mwisho na BABENGWA saa 1 ilopita. 12 Majibu

Taarab

Loading…

Biashara

 
 
 

© 2012   Created by zanzibarwebsite.com.

Lebo  |  Report an Issue  |  Terms of Service